Kutoka 34:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi Musa akashuka Mlima Sinai akiwa amebeba mikononi yale mabamba mawili+ ya Ushahidi. Aliposhuka mlimani, Musa hakujua kwamba ngozi ya uso wake ilikuwa ikitoa miale kwa sababu alikuwa ameongea na Mungu. Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:29 Mnara wa Mlinzi,7/15/1990, kur. 15-163/15/1990, uku. 7
29 Basi Musa akashuka Mlima Sinai akiwa amebeba mikononi yale mabamba mawili+ ya Ushahidi. Aliposhuka mlimani, Musa hakujua kwamba ngozi ya uso wake ilikuwa ikitoa miale kwa sababu alikuwa ameongea na Mungu.