Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Musa akageuka na kushuka kutoka mlimani+ akiwa na yale mabamba mawili ya Ushuhuda+ mkononi mwake, mabamba yaliyoandikwa pande zote mbili. Yaliandikwa upande huu na upande ule.

  • 2 Wakorintho 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana ninyi mnaonyeshwa kuwa barua ya Kristo ambayo sisi tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho+ ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+

  • Waebrania 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki