18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+
20 Baada ya hilo akachukua ule Ushuhuda+ na kuuweka katika Sanduku+ na kuiweka ile miti+ kwenye lile Sanduku na kuweka kile kifuniko+ juu ya lile Sanduku.+
10 Basi Yehova akamwambia Musa: “Irudishe fimbo+ ya Haruni mbele ya Ushuhuda huo iwe kitu cha kuwekwa kama ishara+ kwa wana wa uasi,+ ili manung’uniko yao yakome juu yangu, wasije wakafa.”
9 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba mawili+ ya mawe ambayo Musa aliweka+ humo kule Horebu, wakati Yehova alipokuwa amemaliza kufanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri.+
4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;