Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sawasawa na vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa, Haruni akaiweka mbele ya ule Ushuhuda+ iwe kitu cha kuwekwa.

  • Kutoka 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+

  • Kutoka 40:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Baada ya hilo akachukua ule Ushuhuda+ na kuuweka katika Sanduku+ na kuiweka ile miti+ kwenye lile Sanduku na kuweka kile kifuniko+ juu ya lile Sanduku.+

  • Hesabu 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Yehova akamwambia Musa: “Irudishe fimbo+ ya Haruni mbele ya Ushuhuda huo iwe kitu cha kuwekwa kama ishara+ kwa wana wa uasi,+ ili manung’uniko yao yakome juu yangu, wasije wakafa.”

  • Kumbukumbu la Torati 31:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Mkichukue kitabu hiki cha sheria,+ nanyi mkiweke kando ya sanduku+ la agano la Yehova Mungu wenu, nacho kitashuhudia hapo juu yenu.+

  • 1 Wafalme 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba mawili+ ya mawe ambayo Musa aliweka+ humo kule Horebu, wakati Yehova alipokuwa amemaliza kufanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri.+

  • Waebrania 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki