10 Kisha Musa na Haruni wakaliita kutaniko pamoja mbele ya mwamba, naye akawaambia: “Sikieni, sasa, enyi waasi!+ Je, tuwatolee ninyi maji katika mwamba huu?”+
7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+
27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu!