32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.
6 “Nao wana wa Israeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani+ wakielekea Mosera. Huko Haruni akafa, naye akazikwa huko;+ na Eleazari mwana wake akawa kuhani badala yake.+
14Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+