Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+

  • Hesabu 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.

  • Kumbukumbu la Torati 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Nao wana wa Israeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani+ wakielekea Mosera. Huko Haruni akafa, naye akazikwa huko;+ na Eleazari mwana wake akawa kuhani badala yake.+

  • Yoshua 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi wana wa Haruni walikuwa na migawanyo yao. Wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki