Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani ameigeuzia mbali ghadhabu+ yangu kutoka juu ya wana wa Israeli kwa kutovumilia kwake ushindani wowote kunielekea mimi katikati yao,+ hivi kwamba sikuwaangamiza wana wa Israeli kwa kusisitiza kwangu kwamba watu wajitoe kikamili.+

  • Yoshua 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Sasa Finehasi+ kuhani na wakuu wa kusanyiko+ na vichwa vya maelfu ya Israeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno hayo ambayo walisema wana wa Rubeni na wana wa Gadi na wana wa Manase, ikawa vema machoni pao.

  • Waamuzi 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa amesimama mbele ya sanduku hilo siku hizo,+ akisema: “Je, niende tena kupigana na wana wa Benyamini ndugu yangu, au je, nisiende?”+ Na Yehova akasema: “Panda, kwa kuwa kesho nitamtia mkononi mwako.”+

  • Zaburi 106:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Finehasi aliposimama na kuingilia kati,+

      Ndipo tauni ikazuiwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki