2 Samweli 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa kwamba baada ya hayo vita vikatokea tena na Wafilisti katika Gobu. Ndipo Sibekai+ Mhusha+ akampiga Safu, aliyekuwa mmoja wa wale waliozaliwa kwa Refaimu.+ 1 Mambo ya Nyakati 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wa nane kwa ajili ya mwezi wa nane alikuwa Sibekai+ Mhusha wa Wazera,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.
18 Na ikawa kwamba baada ya hayo vita vikatokea tena na Wafilisti katika Gobu. Ndipo Sibekai+ Mhusha+ akampiga Safu, aliyekuwa mmoja wa wale waliozaliwa kwa Refaimu.+
11 Wa nane kwa ajili ya mwezi wa nane alikuwa Sibekai+ Mhusha wa Wazera,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.