5 Na mwaka wa kumi na nne Kedorlaoma akaja, na pia wafalme waliokuwa pamoja naye, nao wakashinda Warefaimu katika Ashteroth-karnaimu,+ na Wazuzi katika Hamu, na Waemi+ katika Shave-kiriathaimu,
16 Na Ishbi-benobu, aliyekuwa mmoja wa wale waliozaliwa kwa Refaimu,+ ambaye uzito wa mkuki+ wake ulikuwa shekeli mia tatu za shaba na ambaye alikuwa amejifunga upanga mpya, akafikiria kumpiga na kumuua Daudi.