2 Samweli 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mzao wa Warefaimu+ aliyeitwa Ishbi-benobu, aliyekuwa na mkuki wa shaba wenye uzito wa shekeli 300*+ na aliyejihami kwa upanga mpya, alikusudia kumuua Daudi. 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:16 Mnara wa Mlinzi,1/15/2013, kur. 30-31
16 Mzao wa Warefaimu+ aliyeitwa Ishbi-benobu, aliyekuwa na mkuki wa shaba wenye uzito wa shekeli 300*+ na aliyejihami kwa upanga mpya, alikusudia kumuua Daudi.