2 Samweli 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Ishbi-benobu, aliyekuwa mmoja wa wale waliozaliwa kwa Refaimu,+ ambaye uzito wa mkuki+ wake ulikuwa shekeli mia tatu za shaba na ambaye alikuwa amejifunga upanga mpya, akafikiria kumpiga na kumuua Daudi. 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:16 Mnara wa Mlinzi,1/15/2013, kur. 30-31
16 Na Ishbi-benobu, aliyekuwa mmoja wa wale waliozaliwa kwa Refaimu,+ ambaye uzito wa mkuki+ wake ulikuwa shekeli mia tatu za shaba na ambaye alikuwa amejifunga upanga mpya, akafikiria kumpiga na kumuua Daudi.