1 Mambo ya Nyakati 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Sibekai+ Mhusha, Ilai Mwahohi,+ 1 Mambo ya Nyakati 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ikawa kwamba baada ya hayo vita vikaanza kutokea na Wafilisti+ kule Gezeri.+ Ndipo Sibekai+ Mhusha akampiga Sipai wa wale waliozaliwa kwa Refaimu,+ hivi kwamba wakashindwa. 1 Mambo ya Nyakati 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wa nane kwa ajili ya mwezi wa nane alikuwa Sibekai+ Mhusha wa Wazera,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.
4 Na ikawa kwamba baada ya hayo vita vikaanza kutokea na Wafilisti+ kule Gezeri.+ Ndipo Sibekai+ Mhusha akampiga Sipai wa wale waliozaliwa kwa Refaimu,+ hivi kwamba wakashindwa.
11 Wa nane kwa ajili ya mwezi wa nane alikuwa Sibekai+ Mhusha wa Wazera,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.