1 Mambo ya Nyakati 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya hayo, wakapigana tena na Wafilisti kule Gezeri. Wakati huo Sibekai+ Mhusha alimuua Sipai, aliyekuwa mzao wa Warefaimu,+ nao wakatiishwa.
4 Baada ya hayo, wakapigana tena na Wafilisti kule Gezeri. Wakati huo Sibekai+ Mhusha alimuua Sipai, aliyekuwa mzao wa Warefaimu,+ nao wakatiishwa.