Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Daudi akatuma watu na kuuliza habari za mwanamke+ huyo, na mtu fulani akasema: “Je, huyu si Bath-sheba,+ binti ya Eliamu,+ mke wa Uria+ Mhiti?”+

  • 2 Samweli 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wanaume wa jiji walipotoka nje na kupigana na Yoabu, ndipo baadhi ya watu, watumishi wa Daudi, wakaanguka na pia Uria Mhiti akafa.+

  • 2 Samweli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni.

  • 2 Samweli 23:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Uria+ Mhiti—jumla ya watu 37.

  • 1 Wafalme 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki