8 nami nikaurarua+ ufalme kutoka katika nyumba ya Daudi na kukupa wewe, nawe hujawa kama mtumishi wangu Daudi, aliyeshika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote kwa kufanya yaliyokuwa sawa tu machoni pangu,+
2 Naye akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova+ na kutembea katika njia yote ya Daudi babu yake,+ naye hakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto.+