Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Sababu ni kwamba wameniacha,+ wakaanza kuinama mbele ya Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni, na Kemoshi,+ mungu wa Moabu na Milkomu,+ mungu wa wana wa Amoni; nao hawakutembea katika njia zangu kwa kufanya yaliyo sawa machoni pangu na sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu kama Daudi baba yake.

  • 1 Wafalme 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+

  • Matendo 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na baada ya kumwondoa huyo,+ akawainulia Daudi kuwa mfalme,+ ambaye alitoa ushahidi kumhusu na kusema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayekubalika kwa moyo wangu,+ atakayefanya mambo yote ambayo ninatamani.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki