1 Mambo ya Nyakati 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zamani, Sauli alipokuwa mfalme, ni wewe uliyewaongoza Waisraeli vitani.*+ Na Yehova Mungu wako alikuambia hivi: ‘Utawachunga watu wangu Waisraeli, nawe utakuwa kiongozi wa watu wangu Waisraeli.’”+
2 Zamani, Sauli alipokuwa mfalme, ni wewe uliyewaongoza Waisraeli vitani.*+ Na Yehova Mungu wako alikuambia hivi: ‘Utawachunga watu wangu Waisraeli, nawe utakuwa kiongozi wa watu wangu Waisraeli.’”+