1 Mambo ya Nyakati 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Jana na juzi vilevile, hata Sauli alipokuwa mfalme, wewe ndiye uliyeongoza Israeli kuwatoa na kuwaingiza;+ na Yehova, Mungu wako, alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.’”
2 Jana na juzi vilevile, hata Sauli alipokuwa mfalme, wewe ndiye uliyeongoza Israeli kuwatoa na kuwaingiza;+ na Yehova, Mungu wako, alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.’”