Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+

  • Waamuzi 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi wakavuka, wakazidi kwenda zao, ndipo jua likaanza kutua juu yao walipokuwa karibu na Gibea, jiji la Benyamini.

  • Waamuzi 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi wana wa Benyamini wakakusanywa siku hiyo kutoka katika majiji, watu 26,000 wenye kutumia upanga,+ mbali na wakaaji wa Gibea, ambao watu 700 waliochaguliwa walikusanywa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wenye upinde, wanaotumia mkono wa kuume na kutumia mkono wa kushoto+ wakiwa na mawe+ au wakiwa na mishale+ katika upinde.+ Walikuwa wa ndugu za Sauli, wa Benyamini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki