2 Akaanza kusema mbele ya ndugu zake+ na jeshi la Samaria, ndiyo, akasema: “Hawa Wayahudi wanyonge wanafanya nini? Je, watajitegemea wenyewe? Je, watatoa dhabihu?+ Je, watamaliza katika siku moja? Je, watafufua mawe kutoka kwenye marundo ya takataka+ chafu ingawa yameungua?”