2 Akasema hivi mbele ya ndugu zake na jeshi la Samaria: “Wayahudi hawa wanyonge wanafanya nini? Je, watafanya kazi hii peke yao? Je, watatoa dhabihu? Je, watamaliza kwa siku moja? Je, watayatoa mawe yaliyoungua kutoka katika marundo ya vifusi ili yafae kwa ujenzi?”+