Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu yake,+ naye akampasua vipande viwili, kama vile mtu anavyompasua mwana-mbuzi vipande viwili, wala hapakuwa na kitu chochote mkononi mwake. Naye hakumwambia baba yake wala mama yake jambo alilokuwa amefanya.

  • 1 Samweli 17:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Mtumishi wako alimuua simba na dubu vilevile; na huyu Mfilisti+ asiyetahiriwa atakuwa kama mmoja wa hao, kwa kuwa amevitukana+ vikosi+ vya Mungu aliye hai.”+

  • 2 Samweli 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Sauli na Yonathani,+ watu wenye kupendwa na wenye kupendeza wakati wa maisha yao,

      Nao hawakutenganishwa katika kifo chao.+

      Walikuwa wepesi kuliko tai,+

      Walikuwa wenye nguvu kuliko simba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki