20 Kisha akaichukua ile ndama waliyokuwa wameifanya naye akaiteketeza kwa moto na kuipondaponda mpaka ikawa laini,+ kisha akaitawanya juu ya maji+ na kuwalazimisha wana wa Israeli wanywe.+
25 Sanamu za kuchongwa za miungu yao mtaziteketeza kwa moto.+ Usitamani fedha na dhahabu iliyo juu yake,+ wala usiichukue kwa ajili yako,+ usije ukanaswa nayo;+ kwa maana hizo ni chukizo+ kwa Yehova Mungu wako.