1 Mambo ya Nyakati 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Daudi akapanda kwenda Baal-perasimu,+ naye akawaua huko. Ndipo Daudi akasema: “Mungu wa kweli amewapasua na kuwapita maadui wangu kwa mkono wangu, kama ufa uliopasuliwa na maji.” Ndiyo sababu walipaita mahali hapo Baal-perasimu.* 1 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:11 Mnara wa Mlinzi,6/1/1991, kur. 20-21
11 Basi Daudi akapanda kwenda Baal-perasimu,+ naye akawaua huko. Ndipo Daudi akasema: “Mungu wa kweli amewapasua na kuwapita maadui wangu kwa mkono wangu, kama ufa uliopasuliwa na maji.” Ndiyo sababu walipaita mahali hapo Baal-perasimu.*