2 Samweli 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao Wafilisti wakaingia na kuendelea kutembea huku na huku katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+ 2 Samweli 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baadaye Wafilisti wakaja tena+ na kutembea huku na huku katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+ 2 Samweli 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na watatu kati ya wale 30 waliokuwa vichwa+ wakashuka, wakaja kwa Daudi wakati wa mavuno, katika pango la Adulamu;+ na kijiji cha mahema cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+
18 Nao Wafilisti wakaingia na kuendelea kutembea huku na huku katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+
22 Baadaye Wafilisti wakaja tena+ na kutembea huku na huku katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+
13 Na watatu kati ya wale 30 waliokuwa vichwa+ wakashuka, wakaja kwa Daudi wakati wa mavuno, katika pango la Adulamu;+ na kijiji cha mahema cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+