Yoshua 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe unapaswa kulitendea Ai na mfalme wake kama vile ulivyolitendea Yeriko na mfalme wake.+ Lakini mnaweza kupora nyara zake na wanyama wake wa kufugwa kwa ajili yenu wenyewe.+ Weka kikundi cha kulivizia jiji upande wake wa nyuma.”+ Zaburi 18:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Anaifundisha mikono yangu kupigana vita,+Na mikono yangu imepinda upinde wa shaba.+
2 Nawe unapaswa kulitendea Ai na mfalme wake kama vile ulivyolitendea Yeriko na mfalme wake.+ Lakini mnaweza kupora nyara zake na wanyama wake wa kufugwa kwa ajili yenu wenyewe.+ Weka kikundi cha kulivizia jiji upande wake wa nyuma.”+