2 Samweli 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wakati huo Daudi akaendelea kuchukua masuria+ na wake+ zaidi kutoka katika Yerusalemu baada ya kutoka Hebroni; naye Daudi akaendelea kuzaa wana na mabinti zaidi. Zaburi 127:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amelijaza+ podo lake na hao.Hawataona aibu,+Kwa maana wataongea na adui langoni.
13 Wakati huo Daudi akaendelea kuchukua masuria+ na wake+ zaidi kutoka katika Yerusalemu baada ya kutoka Hebroni; naye Daudi akaendelea kuzaa wana na mabinti zaidi.
5 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amelijaza+ podo lake na hao.Hawataona aibu,+Kwa maana wataongea na adui langoni.