6 lakini wana wa masuria ambao Abrahamu alikuwa nao Abrahamu aliwapa zawadi.+ Kisha alipokuwa bado hai, akawaagiza waende kutoka kwa Isaka mwana wake,+ upande wa mashariki, kwenye nchi ya Mashariki.+
16 Basi mfalme akatoka, pamoja na watu wote wa nyumbani mwake wakimfuata miguuni pake,+ na mfalme akawaacha wanawake kumi, masuria,+ ili waitunze nyumba.