2 Samweli 13:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu+ mwana wa Daudi alikuwa na dada mwenye sura nzuri ambaye jina lake lilikuwa Tamari,+ na Amnoni+ mwana wa Daudi akampenda.+
13 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu+ mwana wa Daudi alikuwa na dada mwenye sura nzuri ambaye jina lake lilikuwa Tamari,+ na Amnoni+ mwana wa Daudi akampenda.+