29 Wakati mwanadamu atakaposimama ili kukufuatilia na kuitafuta nafsi yako, nafsi ya bwana wangu itakuwa imefungwa katika mfuko wa uzima+ pamoja na Yehova Mungu wako;+ lakini nafsi ya adui zako yeye ataitupa mbali kama kutoka ndani ya tundu la kombeo.+
10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+