Yeremia 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawatupa nje kwa kombeo wakaaji wa dunia pindi hii,+ nami nitawataabisha ili wapate kujua.”+
18 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawatupa nje kwa kombeo wakaaji wa dunia pindi hii,+ nami nitawataabisha ili wapate kujua.”+