Yeremia 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hasira ya Yehova haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa ametenda+ na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Katika siku za mwisho ninyi mtalifikiria jambo hilo kwa uelewaji.+ Ezekieli 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova; sikusema+ kwa ubatili juu ya kuwatendea jambo hili lenye msiba.” ’+
20 Hasira ya Yehova haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa ametenda+ na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Katika siku za mwisho ninyi mtalifikiria jambo hilo kwa uelewaji.+
10 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova; sikusema+ kwa ubatili juu ya kuwatendea jambo hili lenye msiba.” ’+