Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “ ‘Na hakika wao watawafariji ninyi wakati ambapo mtaiona njia yao na shughuli zao; nanyi mtalazimika kujua kwamba sitakuwa nimetenda, bila sababu, yote hayo ambayo lazima nitatenda juu yake,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”+

  • Ezekieli 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, kwa sababu ya machukizo yote ambayo wamefanya.” ’+

  • Danieli 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+

  • Zekaria 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, je, maneno yangu na masharti yangu ambayo niliwaamuru watumishi wangu manabii,+ hayakuwapata baba zenu?’+ Basi wakarudi na kusema: ‘Kulingana na yale ambayo Yehova wa majeshi alikusudia akilini kututendea,+ kulingana na njia zetu na kulingana na matendo yetu, ndivyo alivyotutendea sisi.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki