Mwanzo 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+ 1 Samweli 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nao wakuu+ wa Wafilisti wakawa wakitoka, na ikawa kwamba kadiri walivyotoka mara nyingi ndivyo Daudi alivyotenda kwa busara+ zaidi kati ya watumishi wote wa Sauli; na jina lake likaja kuwa lenye thamani sana.+ Zaburi 75:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+Humshusha huyu, na kumwinua yule.+ Luka 1:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Amewashusha watu wenye nguvu+ kutoka katika viti vya ufalme na kuwainua watu wa hali ya chini;+
2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+
30 Nao wakuu+ wa Wafilisti wakawa wakitoka, na ikawa kwamba kadiri walivyotoka mara nyingi ndivyo Daudi alivyotenda kwa busara+ zaidi kati ya watumishi wote wa Sauli; na jina lake likaja kuwa lenye thamani sana.+