Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+

  • Methali 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ni afadhali kuchagua jina badala ya utajiri mwingi;+ kibali ni bora kuliko hata fedha na dhahabu.+

  • Isaya 56:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nitawapa ukumbusho+ na jina+ katika nyumba yangu+ na katika kuta zangu, jambo lililo bora kuliko wana na mabinti.+ Nitawapa jina mpaka wakati usio na kipimo,+ ambalo halitakatiliwa mbali.+

  • Ezekieli 36:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ‘Nami hakika nitalitakasa jina langu kuu,+ ambalo lilikuwa likitiwa unajisi katikati ya mataifa, ambalo ninyi mlilitia unajisi katikati yao; nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘wakati nitakapotakaswa katikati yenu mbele ya macho yao.+

  • Mathayo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Basi, ninyi msali hivi:+

      “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+

  • Luka 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, msishangilie juu ya hili, kwamba roho wanatiishwa kwenu, bali shangilieni kwa sababu majina+ yenu yameandikwa mbinguni.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki