Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Lakini sasa ikiwa utasamehe dhambi yao,+—na ikiwa sivyo, nifute,+ tafadhali, kutoka katika kitabu+ chako ambacho umeandika.”

  • Zaburi 69:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na wafutwe kutoka katika kitabu cha walio hai,+

      Wala wasiandikwe pamoja na waadilifu.+

  • Isaya 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na itatukia kwamba wale waliobaki katika Sayuni na wale waliosalia katika Yerusalemu watasemwa kuwa ni watakatifu kwake,+ kila mtu aliyeandikwa kwa ajili ya uzima katika Yerusalemu.+

  • Danieli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Mikaeli+ atasimama wakati huo, yule mkuu+ anayesimama+ kwa ajili ya wana wa watu wako.+ Na kutakuwa na wakati wa taabu ambayo haijapata kutokea tangu kuwapo kwa taifa lolote mpaka wakati huo.+ Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mmoja anayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+

  • Wafilipi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndiyo, nakuomba wewe pia, mwenzangu halisi katika nira,+ endelea kuwasaidia wanawake hawa ambao wamekazana pamoja nami+ katika habari njema pamoja na Klementi na vilevile wale wafanyakazi wenzangu+ wengine, ambao majina+ yao yamo katika kitabu cha uzima.+

  • Waebrania 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 katika kusanyiko kuu,+ na kutaniko la wazaliwa wa kwanza+ ambao wameandikishwa+ mbinguni, na Mungu Mwamuzi wa wote,+ na maisha ya kiroho+ ya waadilifu ambao wamefanywa wakamilifu,+

  • Ufunuo 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yeye atakayeshinda+ atapambwa hivyo mavazi meupe ya nje;+ nami sitalifuta kwa vyovyote jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba+ yangu na mbele ya malaika+ zake.

  • Ufunuo 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na wale wote wanaokaa duniani watamwabudu; hakuna jina la hata mmoja wao limeandikwa katika kitabu cha kukunjwa+ cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa,+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki