16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+
2 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemfanya imara+ kuwa mfalme juu ya Israeli, kwa maana ufalme wake ulikuwa umeinuliwa sana kwa ajili ya watu wake Israeli.+