1 Samweli 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Daudi akakimbia kutoka Naiothi huko Rama. Hata hivyo, akaenda kwa Yonathani na kumuuliza: “Nimefanya nini?+ Nimefanya kosa gani, nami nimemtendea baba yako dhambi gani hivi kwamba anataka kuniua?”
20 Kisha Daudi akakimbia kutoka Naiothi huko Rama. Hata hivyo, akaenda kwa Yonathani na kumuuliza: “Nimefanya nini?+ Nimefanya kosa gani, nami nimemtendea baba yako dhambi gani hivi kwamba anataka kuniua?”