25Baadaye Samweli+ akafa; na Israeli wote wakakusanyika pamoja, wakamwombolezea+ na kumzika karibu na nyumba yake huko Rama.+ Kisha Daudi akaondoka, akashuka kwenda katika nyika ya Parani.+
57Mwadilifu ameangamia,+ lakini hakuna anayeweka jambo hilo moyoni.+ Na watu wa fadhili zenye upendo wanakusanywa kwa wafu,+ hali hakuna anayetambua kuwa ni kwa sababu ya msiba kwamba mwadilifu amekusanywa.+