1 Samweli 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini alikuwa akirudi Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa huko, naye akahukumu Israeli huko. Naye akamjengea Yehova madhabahu huko.+ 1 Samweli 28:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Samweli alikuwa amekufa, na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, wakamzika katika Rama jiji lake.+ Naye Sauli alikuwa amewaondolea mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+
17 Lakini alikuwa akirudi Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa huko, naye akahukumu Israeli huko. Naye akamjengea Yehova madhabahu huko.+
3 Basi Samweli alikuwa amekufa, na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, wakamzika katika Rama jiji lake.+ Naye Sauli alikuwa amewaondolea mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+