Hesabu 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nalo kusanyiko lote likapata kuona kwamba Haruni alikuwa amekata pumzi, na nyumba yote ya Israeli ikaendelea kumlilia Haruni siku 30.+ Kumbukumbu la Torati 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na wana wa Israeli wakamlilia Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kwa siku 30.+ Mwishowe siku za kulia za kipindi cha kumwombolezea Musa zikamalizika. Matendo 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini wanaume wenye kumheshimu Mungu wakamchukua Stefano kwenda kumzika,+ nao wakafanya maombolezo+ makubwa juu yake.
29 Nalo kusanyiko lote likapata kuona kwamba Haruni alikuwa amekata pumzi, na nyumba yote ya Israeli ikaendelea kumlilia Haruni siku 30.+
8 Na wana wa Israeli wakamlilia Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kwa siku 30.+ Mwishowe siku za kulia za kipindi cha kumwombolezea Musa zikamalizika.
2 Lakini wanaume wenye kumheshimu Mungu wakamchukua Stefano kwenda kumzika,+ nao wakafanya maombolezo+ makubwa juu yake.