1 Samweli 25:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya muda Samweli+ akafa; na Waisraeli wote wakakusanyika pamoja kumwombolezea na kumzika nyumbani kwake huko Rama.+ Kisha Daudi akaondoka na kushuka kwenda katika nyika ya Parani.
25 Baada ya muda Samweli+ akafa; na Waisraeli wote wakakusanyika pamoja kumwombolezea na kumzika nyumbani kwake huko Rama.+ Kisha Daudi akaondoka na kushuka kwenda katika nyika ya Parani.