Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Katika muda wa mwaka mmoja* Hana alipata mimba, akazaa mwana na kumwita+ mwana huyo Samweli,* kwa maana alisema, “nilimwomba kutoka kwa Yehova.”

  • 1 Samweli 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Samweli alikuwa akihudumu+ mbele za Yehova, akiwa amevaa* efodi ya kitani,+ ingawa alikuwa mvulana tu.

  • 1 Samweli 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Waisraeli wote kuanzia Dani mpaka Beer-sheba wakapata habari kwamba Samweli alikuwa amewekwa rasmi kuwa nabii wa Yehova.

  • Zaburi 99:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+

      Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+

      Walikuwa wakimwita Yehova,

      Naye alikuwa akiwajibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki