1 Samweli 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Samweli akachukua mwanakondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa dhabihu nzima ya kuteketezwa;+ na Samweli akamwomba Yehova awasaidie Waisraeli, naye Yehova akamjibu.+
9 Ndipo Samweli akachukua mwanakondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa dhabihu nzima ya kuteketezwa;+ na Samweli akamwomba Yehova awasaidie Waisraeli, naye Yehova akamjibu.+