Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo ikawa mwishoni mwa mwaka kwamba Hana akachukua mimba, akamzaa mwana, akamwita jina+ lake Samweli, kwa maana alisema, “Nimemwomba kutoka kwa Yehova.”+

  • 1 Samweli 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Samweli alikuwa akihudumu+ mbele za Yehova, akiwa mvulana, amejifunga efodi ya kitani.+

  • 1 Samweli 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Israeli wote kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ wakajua kwamba Samweli ndiye aliyewekwa kuwa nabii wa Yehova.+

  • Zaburi 99:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+

      Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+

      Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki