1 Samweli 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo ikawa mwishoni mwa mwaka kwamba Hana akachukua mimba, akamzaa mwana, akamwita jina+ lake Samweli, kwa maana alisema, “Nimemwomba kutoka kwa Yehova.”+ 1 Samweli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Samweli alikuwa akihudumu+ mbele za Yehova, akiwa mvulana, amejifunga efodi ya kitani.+ 1 Samweli 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Israeli wote kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ wakajua kwamba Samweli ndiye aliyewekwa kuwa nabii wa Yehova.+ Zaburi 99:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+
20 Kwa hiyo ikawa mwishoni mwa mwaka kwamba Hana akachukua mimba, akamzaa mwana, akamwita jina+ lake Samweli, kwa maana alisema, “Nimemwomba kutoka kwa Yehova.”+
20 Na Israeli wote kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ wakajua kwamba Samweli ndiye aliyewekwa kuwa nabii wa Yehova.+
6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+