1 Samweli 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Elkana akaenda Rama nyumbani kwake; na yule mvulana akawa mhudumu+ wa Yehova mbele ya Eli kuhani. 1 Samweli 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Samweli akaendelea kulala mpaka asubuhi. Kisha akafungua milango ya nyumba ya Yehova.+ Na Samweli akaogopa kumwambia Eli maono hayo.+ Methali 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa matendo yake, mvulana hujitambulisha kama utendaji wake ni safi na mnyoofu.+
11 Basi Elkana akaenda Rama nyumbani kwake; na yule mvulana akawa mhudumu+ wa Yehova mbele ya Eli kuhani.
15 Naye Samweli akaendelea kulala mpaka asubuhi. Kisha akafungua milango ya nyumba ya Yehova.+ Na Samweli akaogopa kumwambia Eli maono hayo.+