Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini sasa ufalme wako hautadumu.+ Yehova atajitafutia mtu anayekubalika kwa moyo wake;+ na Yehova atamweka kuwa kiongozi+ juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukushika yale aliyokuamuru Yehova.”+

  • 1 Samweli 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+

  • 1 Samweli 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Sauli akaanza kukasirika sana,+ na neno hilo lilikuwa baya kwa maoni yake, hivi kwamba akasema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu, basi inabaki tu apewe ufalme!”+

  • 1 Samweli 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana siku zote ambazo mwana wa Yese atakuwa hai katika nchi, wewe na ufalme wako hutasimama imara.+ Basi sasa tuma watu umlete kwangu, kwa maana amekusudiwa kufa.”+

  • 1 Samweli 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye akamwambia: “Usiogope;+ kwa kuwa mkono wa Sauli baba yangu hautakupata, na wewe utakuwa mfalme+ juu ya Israeli, na mimi nitakuwa wa pili kwako; na Sauli baba yangu pia anajua jambo hilo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki