8 Nawe ushuke mbele yangu kwenda Gilgali;+ na tazama! ninashuka kuja kwako ili nitoe dhabihu za kuteketezwa, ili nitoe dhabihu za ushirika.+ Uendelee kungojea siku saba+ mpaka nitakapokujia, nami hakika nitakujulisha yale unayopaswa kufanya.”
23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+
7 Kwa maana niliwaonya mababu zenu siku ile niliyowatoa katika nchi ya Misri+ na mpaka leo hii, nikiamka mapema na kuwaonya, nikisema: “Tiini sauti yangu.”+