Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwishowe Yehova akamwambia Samweli: “Ni mpaka wakati gani utamwombolezea Sauli,+ huku mimi, kwa upande mwingine, nimemkataa asitawale akiwa mfalme juu ya Israeli?+ Jaza pembe yako mafuta,+ nawe uende. Nitakutuma kwa Yese+ Mbethlehemu, kwa maana nimejipatia mfalme kati ya wanawe.”+

  • 2 Samweli 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na fadhili zangu zenye upendo hazitaondoka juu yake kama vile nilivyoziondoa juu ya Sauli,+ ambaye nilimwondoa kwa ajili yako.

  • Zaburi 78:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Na kwa hiyo akamchagua Daudi mtumishi wake+

      Naye akamtoa katika mazizi ya kundi.+

  • Zaburi 89:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nimemwona Daudi mtumishi wangu;+

      Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta,+

  • Matendo 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na baada ya kumwondoa huyo,+ akawainulia Daudi kuwa mfalme,+ ambaye alitoa ushahidi kumhusu na kusema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayekubalika kwa moyo wangu,+ atakayefanya mambo yote ambayo ninatamani.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki