20 ili moyo wake usijiinue juu ya ndugu zake+ naye asigeuke kando kutoka kwenye amri kwenda upande wa kuume au upande wa kushoto,+ ili arefushe siku zake juu ya ufalme wake,+ yeye na wanawe katikati ya Israeli.
28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+