Zaburi 89:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ni mwanamume gani aliye hai ambaye hataona kifo?+Je, anaweza kuiokoa nafsi yake katika mkono wa Kaburi?*+ Sela. Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+
48 Ni mwanamume gani aliye hai ambaye hataona kifo?+Je, anaweza kuiokoa nafsi yake katika mkono wa Kaburi?*+ Sela.
7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+